kurasa

Ijumaa, 12 Julai 2013

Guadiola vitani na Man u.t.d

Kocha mpya wa mabingwa wa ujerumani,
na ulaya Bayern Munchen Pep Guadiola ameingia kwanye vita,
ya kumuwania mchezaji kinda wa Barcelona Thiago Alcantara













ambae pia anawaniwa na club ya man u.t.d baada ya kuzungumza.
Na wandishi wa habari huku akisema anamtaka mchezaji huyo,
pia akiuambia uongozi wa Bayern ufanye kila linalowezekana
ili wamsajili

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni