Habari za usajili zimezidi kupamba moto, barani ulaya.
Kwa mujibu wa chanzo cha record, kimesema Man u.t.d
ipo katika hatua nzuri kumsajili mlinzi wa timu ya Benfica,
ya ureno Ezequel Garay, na ripoti zinasema dili kukamilika ndani ya wiki hii,
Taarifa nyingine zinasema mchezaji aliekimbia uongozi Barcelona, amekamilisha mpango wa kujiunga na,
na timu kutoka nchini kwao ufaransa ya Monaco


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni