Kuna tetesi mfanya biashara maarufu Saidi Salim Baharessa,
yuko mbioni kuleta king'amuzi chake tena kwa kwa bei cheeeee.....
HIZI NDO GHARAMA ZAKE: king'amuzi kitauzwa kwa bei ya tsh, 30000.
Na kwa mwezi utakua ukilipia 2000 za kitanzani....
Tusubiri tuone kama ni kweli
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni